
Karibu tujifunze neno la uzima
IMANI NA UPENDO
“Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.” Wagalatia 5:6 Katika kila jambo kuna utaratibu wa namna mambo yanavyo paswa kufanyika ili kutoa matokeo yanayokusudiwa. Na kama ilivyo katika ulimwengu wa mwili vivyo hivyo katika ulimwengu wa roho kuna utaratibu wa namna mambo yanafanyika. Mungu wetu ameweka ahadi…
UMUHIMU WA IMANI
“ili msiwe wavivu, bali mkawe wafuasi wa hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu.” Waebrania 6:12 Unajua katika ulimwengu wa biashara kinachotofautisha bidhaa bora na nyinginezo, ni faida anayoipata mtumiaji, na ndio maana kuna baadhi ya bidhaa hata kama ni za gharama kubwa kiasi gani lakini bado huwa hazikosekani majumbani mwetu, na yote ni kwa…
Follow My Blog
Get new content delivered directly to your inbox.