
Karibu tujifunze neno la uzima
NAMNA YA KUMPENDEZA MUNGU
“Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.” Waebrania 11:6 Kama kuna jambo la muhimu sana kwetu kama Watoto wa Mungu basi litakuwa ni kuishi maisha yenye kumpendeza yeye (yaani Baba yetu wa Mbinguni). Na ndio maana yeye (Mungu) hutufundisha neno lakekila…
JINSI IMANI INAVYOFANYA KAZI
“Lakini kwa kuwa tuna roho ile ile ya imani; kama ilivyoandikwa, Naliamini, na kwa sababu hiyo nalinena; sisi nasi twaamini, na kwa sababu hiyo twanena;” 2 Wakorintho 4:13 Ni dhahiri kuwa kwa kusoma andiko la utangulizi utaona kuwa kuna uhusiano kati ya kuamini na kukiri unachoamini. Tena nikikurudisha nyuma kidogo kwenye namna tulivyopata wokovu, utagundua…
Follow My Blog
Get new content delivered directly to your inbox.